FAQ Background

Gundua Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Hapa utapata maelezo kuhusu jinsi ya kutumia programu hii na kudhibiti akaunti yako. Endapo utakutana na changamoto yoyote unapotumia programu, wasiliana nasi kupitia WhatsApp +255 769 429 132

Maswali ya Jumla

Rifaly ni nini?

Rifaly ni jukwaa la kidijitali la maudhui linalokupa ufikiaji wa magazeti, majarida, na hadithi kutoka kwa wachapishaji mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi. Unaweza kusoma, kuchunguza, na kujisajili kwenye machapisho uyapendayo moja kwa moja kupitia simu yako.

Jukwaa la Rifaly-HabariMaelezo ni nini?

Jinsi ya kujisajili kwenye Jukwaa la Rifaly-HabariMaelezo

Ni aina gani za maudhui zinapatikana?

Je, naweza kutumia Rifaly bila data ya simu?

Je, naweza kutumia Rifaly nikiwa nje ya Tanzania?

Je, naweza kushiriki maudhui na wengine?

Nani wa kuwasiliana naye kwa msaada?

Malipo

Nitafanyaje malipo?

Nimefanya malipo lakini siwezi kusoma. Nifanyeje?

Je, naweza kughairi au kurudishiwa baada ya kununua maudhui?

Je, naweza kufikia maudhui niliyolipia baadaye?

Mipangilio

Ninawezaje kubadilisha lugha?

Ninawezaje kubadilisha nenosiri?

Msaada